Saturday, March 15, 2014

2:32 PM

ya vimaneno maneno kuzidi kuwaandama dhidi ya penzi lao Wema Sepetu na Diamond Platnumz, Wema ameamua kuvunja ukimya na kuwajibu haters kwa kile wanachokifanya, kupitia akaunt yake ya instagram wema sepetu aliweka picha ya Diamond akiwa kitandani


na baada ya kuweka picha hiyo wema aliambatanisha maneno haya Da love of my life.... Dats wat he is.... Our life, our rules.... Sipendi watu wanavyoingilia my love life kabisa.... I am his nd he is mine... dats jus it.... Kama ni mshenzi ndo wangu, tahira wangu, hafai ndo tayari wangu.... Love him jus like dat.... Mapenzi huwa hayaingiliwi hata siku moja.... Nd dey say wapenzi wakigombana chukua jembe ukalime, hawakukosea at all... With all due respect stop talking shit bout my baby.... Cuz at da end of da day he is da one I love nd I aint scared to.say it.... Nd I aint gon.stop... Call me stupid, crazy or whatever but dats jus reality.... Take it or leave it.... Im out...


0 comments:

Post a Comment