Friday, February 28, 2014

6:31 AM
Mtu  mmoja  amefariki  dunia  na  wengine  38  wamejeruhiwa  vibaya  kufuatia  ajali  ya  basi  la  Bunda  Express  walilokuwa  wakisafirikia   kutoka  Dodoma  kwenda  Mwanza  kugongana  na  Treni  eneo  la  Manyoni  Mkoani  Singida….
Majeruhi   wa  ajali  hiyo  wamepelekwa katika   Hospitali ya Wilaya ya Manyoni mkoani Singida

0 comments:

Post a Comment